UMEME POPOTE
MASAA 24
SAFARI YETU ILIANZA MWAKA 2011
Wazo halikuwa kuunda teknolojia kwanza, bali kuelewa kwanza mahitaji ya wateja na kile wanachoweza kumudu.
Kutoka kwenye ufahamu huo, timu ikaweza kuunda teknolojia sahihi inayoendana na mahitaji ya wateja.
JINSI TULIVYOANZA
Chanzo cha ZOLA Electric kilianzia kwenye safari aliyosafiri mwanzilishi mkuu Xavier Helgesen mwaka 2007 nchini Malawi. Alifikia kwenye kijiji cha uvuvi ufukoni mwa Ziwa Malawi ambako alialikwa kwa chakula cha jioni kwenye nyumba ya familia moja ambayo ni wenyeji hapo.
Alijifunza kuwa mwenyeji wake anategemea mafuta ya taa ambayo si salama ili kupata mwanga nyumbani kwake. Akajiuliza, kwanini kati ya watu aliokutana nao hakukuwa na yeyote aliyekuwa na angalau mtambo mdogo wa umeme wa jua? Je, ni changamoto ya teknolojia au ni shida nyingine?
Miaka Mitano baadae, ZOLA Electric ilianzishwa rasmi ikifahamika kama Off-Grid Electric . Waanzilishi walikuja Tanzania mwaka 2012 baada ya kufanyia kazi wazo hilo kwa mwaka mmoja katika chuo kikuu cha Oxford na kukusanya pesa kwa ajili ya uanzilishi. Walianzisha kampuni na ikaitwa Off Grid Electric.
Dhana haikuwa kujenga teknolojia kwanza bali kuelewa mahitaji ya wateja na gharama watakazoweza kuzimudu. Kwa kufahamu mambo hayo, wangeweza kutengeneza teknolojia ambayo inaendana na uhitaji wa wateja.
Leo, ZOLA ni kampuni ya nishati ya jua inayoongoza katika masoko inayoyahudumia ikiwa inatoa huduma kamili ya nishati jua ambayo inaweza kukidhi mahitaji yoyote ya nishati.
ZOLA Electric imeunda muundo wa kipekee na falsafa ya uhandisi kutokana na uelewa mkubwa tuliopata katika kuwahudumia wateja zaidi ya milioni 1. Wimbi la kwanza la nishati ya jua lilitia mkazo kwenye nchi zilizoendelea ambapo wateja hukabiliana na bili za matumizi yao kupitia mifumo mbalimbali.
"Kama kuzalisha nishati yako binafsi ni rahisi na ni njia ya kuaminika zaidi ya kununua umeme kutoka kwenye gridi ya taifa, kwanini usifanye hivyo?"
Uongozi wa ZOLA ELECTRIC

Bill Lenihan
Chief Executive Officer
Partner @ Fremont Partners / Calera Capital, EVP International @ Switch Lighting, Goldman Sachs, Credit Suisse, MBA @ Wharton, BA @ UCLA

Bill Lenihan
Chief Executive Officer
- Phone:+1 (859) 254-6589
- Email:info@example.com

Doye Ogionwo
Chief Commercial Officer
CEO @ Triffant Resources, Group CCO @ Helios Towers, Partner @ NEWE Partners, MBA @ Carnegie Mellon

Martijn Bouwmeester
Chief Financial Officer
Finance Director @ Johnson & Johnson Msc. Industrial Engineering & Mgmt, Twente University

Sau Ngosi
Chief Technology Officer
CTO @ Schneider Electric, Board Member @ Warm Heart of Africa Foundation, P.Eng @APEGBC., B.Eng

Steven Van Maasakker
General Council
Executive Director Global Legal Affairs - General Counsel @ Heineken

Steven Van Maasakker
General Council
- Phone:+1 (859) 254-6589
- Email:info@example.com

Robert Falcon
VP Manufacturing and Supply chain

Robert Falcon
VP Manufacturing and Supply chain
- Phone:+1 (859) 254-6589
- Email:info@example.com

Nicola Douglas
Global Director - Human Capital
15+ years Human Resources experience in USA, Europe and Asia. SDA Bocconi School of Management (Italy) MBA and Fairfield University (US) Bachelor

Nicola Douglas
Global Director - Human Capital
- Phone:+1 (859) 254-6589
- Email:info@example.com
Bodi ya wakurugenzi

Bill Lenihan
Director
Partner @ Fremont Partners / Calera Capital, EVP International @ Switch Lighting, Goldman Sachs, Credit Suisse, MBA @ Wharton, BA @ UCLA

Xavier Helgesen
Director
Skoll Scholar + MBA @ Oxford, Co-Founder @ Better World Books, Indaba Systems

Nancy Pfund
Director
Founder and Managing Partner of DBL Partners, JPMorgan, Hambrecht & Quist, MA @ Stanford, MBA @ Yale

Steve Hall
Director
Managing Director @ Vulcan Capital

Tope Lawani
Director
Co-founder and Managing Partner of Helios Investment Partners, TPG, MIT, Harvard Law, MBA @ Harvard

Lyndon Rive
Director
Co-founder @ SolarCity now Tesla Energy. Co-Founder @ Everdream, Board @ NatGeo, GivePower, World Spine Care. U.S. National Underwater Hockey Team member.
Mfululizo wa matukio
-
2012 - ZOLA Ilianzisha kama "M-POWER"
ZOLA ilianzishwa kama “M-Power” Arusha, Tanzania ambapo hadi mwishoni mwa 2012 ilipata wateja wake 1,000 wa kwanza.
-
2014 - ZOLA Inafunguliwa Tanzania
ZOLA ilipanuka kwa haraka kote Tanzania kutokana na wateja zaidi ya elfu 10 kuchagua kutumia bidhaa za ZOLA. Sambamba na hilo, ZOLA ikaingia ubia na International Finance Corporation katika mfuko wa dola za kimarekani milioni 7 ($7 Million facility) kwa ajili ya maeneo yasiyo na umeme wa gridi ya taifa ambao ulikuwa ni uwezeshwaji mwingine wa kwanza katika sekta hiyo.
-
2015 - ZOLA inazindua mitambo ya M-series
OLA ilipata mtaji katika harambee iliyoongozwa na washirika wa DBL. Nancy Pfund akajiunga na baraza la wakurugenzi. ZOLA ikazindua toleo lake la tatu la bidhaa zake ambapo uwezo wa nishati uliongezwa mara 10 zaidi ya matoleo yaliyopita.
-
2016 - Ofisi zinafunguliwa Rwanda
ZOLA pamoja na EDF Energy walitangaza ushirikiano wa kibiashara ili kupanua fursa za upatikanaji wa nishati Afrika magharibi ambapo walianza utendaji kazi Côte d'Ivoire.
-
2017 - mtambo wa ZOLA FLEX unazinduliwa
ZOLA begins operations in Nigeria, Africa's biggest market. Nigeria has more diesel generators than households. Unlike its approach in other markets, ZOLA's target is not only off-grid households but also those that are connected to an unreliable grid that demands the use of dirty, dangerous and unhealthy diesel generators.
-
2018 - ZOLA inafungua tawi Nigeria
Nigeria ina idadi kubwa ya majenereta ya diseli kuliko idadi ya kaya. Lengo la ZOLA sio kufikia kaya zilizopo kwenye maeneo yasiyo na umeme wa gridi ya taifa peke yake bali pia kufikia kaya ambazo zimeunganishwa na umeme wa gridi ya taifa usio wa uhakika hivyo kulazimu matumizi ya majenereta ya diseli ambayo ni hatari na sio salama kwa afya.
-
2019 - ZOLA INFINITY INAZINDULLIWA NIGERIA
Bidhaa za ZOLA zinawezesha upatikanaji wa umeme wa jua kwa zaidi ya watumiaji milioni 1 kila siku. Kampuni ilizindua mitambo ya INFINITY ambayo inatoa umeme wa mkondo geu(AC) saa 24 popote ikiwa na betri ya lithiamu-ion, paneli ya jua na umeme wa gridi ya taifa kama nishati ya ziada unapokuwepo.
-
2020 - Mradi wa gridi ya umeme wa sola, Rwanda
Mradi wa 120 kWp Gakagati sasa unawezesha upatikanaji wa umeme kwenye makazi 931, biashara 58, vituo vya dini 3, shule 1, kituo cha afya na mitambo 5 ya umwagiliaji ikiwa na matarajio ya kuongezeka kufikia 240kWp ndani ya miaka 2. Mitambo imara ya ZOLA ya INFINITY ndio msingi wa gridi ndogo ya umeme.
Tuzo
WASHIRIKA NA WADAU
Wawekezaji na washirika wa kibiashara wa ZOLA Electric ni pamoja na Tesla, General Electric, EDF Energy, DBL Ventures, Helios Investment Partners na Total.



















Jisajili kwenye Jarida letu
Usikose habari zinazokuja kutoka ZOLA Electric, Jiunge sasa!